HAZINA ZA NENO LA MUNGU | 1 PETRO 3-5
“Mwisho wa Mambo Yote Umekaribia”
Hivi karibuni tutakabili dhiki kuu zaidi kuwahi kutokea ulimwenguni. Tunaweza kufanya nini ili kuendelea kuwa imara kiroho sasa na wakati ujao?
Sali bila kuacha, kwa kusali kila namna ya sala
Sitawisha upendo mwingi sana kwa ndugu na dada zako Wakristo, na ujitahidi kuwa na uhusiano wa karibu nao
Wakaribishe wengine kwa ukarimu
JIULIZE, ‘Ni katika njia zipi ninaweza kuwaonyesha upendo mwingi na ukarimu ndugu na dada katika eneo letu na ulimwenguni pote?’