Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • mwb19 Desemba uku. 8
  • Dunia ‘Ilimeza Mto’

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Dunia ‘Ilimeza Mto’
  • Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2019
  • Habari Zinazolingana
  • Ushindi Mkubwa Kupitia Kwa Imani
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1979
  • Matukio Muhimu ya Mwaka Uliopita
    2010 Kitabu cha Mwaka cha Mashahidi wa Yehova
  • Ripoti ya Mambo ya Kisheria
    2014 Kitabu cha Mwaka cha Mashahidi wa Yehovah
  • Wahubiri wa Ufalme Wanapeleka Kesi Mahakamani
    Ufalme wa Mungu Unatawala!
Pata Habari Zaidi
Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2019
mwb19 Desemba uku. 8
Hati za kisheria kuhusu kufungwa kwa Mashahidi wa Yehova nchini Korea na akina ndugu waliovalia sare za gerezani

MAISHA YA MKRISTO

Dunia ‘Ilimeza Mto’

Pindi mbalimbali katika historia, mamlaka za serikali zimewasaidia watu wa Yehova. (Ezr 6:1-12; Est 8:10-13) Na hata katika siku zetu, tumeona “dunia,” yaani, wenye mamlaka ambao wana usawaziko katika ulimwengu huu, wakiumeza “mto” wa mateso unaochochewa na “yule joka,” Shetani Ibilisi. (Ufu 12:16) Yehova, “Mungu anayeokoa,” anaamua nyakati fulani kuwachochea watawala wa kibinadamu kuwasaidia watu wake.—Zb 68:20; Met 21:1.

Vipi ukifungwa gerezani kwa sababu ya imani yako? Usitilie shaka kamwe kwamba Yehova anakulinda. (Mwa 39:21-23; Zb 105:17-20) Uwe na uhakika kwamba imani yako itathawabishwa na utimilifu wako utawatia moyo ndugu zako ulimwenguni pote.—Flp 1:12-14; Ufu 2:10.

TAZAMENI VIDEO YENYE KICHWA NDUGU NCHINI KOREA WAACHILIWAKUTOKA GEREZANI, KISHA MJIBU MASWALI YAFUATAYO:

  • Kwa nini maelfu ya ndugu zetu walifungwa gerezani miaka iliyopita nchini Korea Kusini?

  • Ni maamuzi gani ya mahakama ambayo yalifanya baadhi ya ndugu zetu waachiliwe huru mapema?

  • Tunaweza kuwasaidiaje ndugu zetu ulimwenguni pote ambao wamefungwa gerezani kwa sababu ya imani yao?

  • Tunaweza kutumiaje uhuru tulio nao sasa?

  • Ni nani hasa anayetusaidia kupata ushindi mahakamani?

Mojawapo ya gereza nchini Korea ambako Mashahidi wa Yehova walifungwa; barua zilizotumwa kwenye ofisi ya tawi ya Korea ambazo zilipelekwa kwa akina ndugu waliofungwa; baba na mwanaye wakumbatiana baada ya kukutana tena

Ninatumiaje uhuru wangu mwenyewe?

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki