HAZINA ZA NENO LA MUNGU | KUTOKA 15-16
Msifu Yehova kwa Wimbo
Muziki unaweza kuathiri sana jinsi tunavyofikiri na kuhisi. Kuimba ni sehemu muhimu ya ibada yetu kwa Yehova.
Musa na Waisraeli walimwimbia Yehova sifa alipowakomboa kimuujiza kwenye Bahari Nyekundu
Mfalme Daudi aliwaweka rasmi wanaume 4,000 kuwa waimbaji na wanamuziki hekaluni
Yesu na mitume wake walimwimbia Yehova sifa usiku uliotangulia kifo chake
Nina fursa zipi za kumwimbia Yehova sifa?