HAZINA ZA NENO LA MUNGU | MAMBO YA WALAWI 6-7
Wonyesho wa Shukrani
Dhabihu za ushirika katika Israeli zinatukumbusha umuhimu wa kumshukuru Yehova katika sala zetu na pia kupitia mwenendo wetu.—Flp 4:6, 7; Kol 3:15.
Tunaposali, tunaweza kumshukuru Yehova kuhusu mambo gani hususa?—1Th 5:17, 18
Kuonyesha shukrani kunatunufaishaje?
Mtu anawezaje kula kwenye “meza ya roho waovu,” na kufanya hivyo kungeonyeshaje kwamba hana uthamini kwa Yehova?—1Ko 10:20, 21