Yakobo akiwatolea wana wake unabii
HAZINA ZA NENO LA MUNGU
Yehova Agawa Nchi kwa Hekima
Yehova alitoa mwongozo kupitia kura, huenda ili kuonyesha upande ambao urithi wa kila kabila ungekuwa (Yos 18:10; it-1 359 ¶1)
Yehova alihakikisha kwamba unabii ambao Yakobo alitoa alipokuwa akikaribia kufa ulitimizwa (Yos 19:1; it-1 1200 ¶1)
Yehova aliwaruhusu watu waamue ukubwa wa eneo ambalo kila kabila lingemiliki (Yos 19:9; it-1 359 ¶2)
Ardhi iligawanywa katika njia ambayo ingezuia makabila yasioneane wivu au kubishana. Hilo linakufanya uhisije kuhusu jinsi Yehova atakavyoelekeza mambo katika ulimwengu mpya?