HAZINA ZA NENO LA MUNGU
Usaliti Ni Kitu Kinachochukiza!
Delila alishawishiwa amsaliti Samsoni ili apate pesa (Amu 16:4, 5; w12 4/15 9 ¶4)
Delila alimsumbua Samsoni hadi alipomfunulia siri yake (Amu 16:15-18; w05 1/15 27 ¶5)
Wakristo wanapaswa kuwa washikamanifu katika familia na kutanikoni (1Th 2:10; w12 4/15 11-12 ¶15-16)
Yehova huwathawabisha wanaodumisha ushikamanifu.—Zb 18:25, 26.