HAZINA ZA NENO LA MUNGU
Thamani ya Hekima
Sulemani alimwomba Yehova ampe hekima (1Fa 3:7-9; w11 12/15 8 ¶4-6)
Yehova alifurahishwa na ombi la Sulemani (1Fa 3:10-13)
Kwa sababu Sulemani alithamini hekima kutoka kwa Mungu, taifa liliishi kwa usalama (1Fa 4:25)
Mtu mwenye hekima hutumia ujuzi na uelewaji ili kufanya maamuzi mazuri. Hekima ni yenye thamani kubwa kuliko dhahabu. (Met 16:16) Tunaweza kupata hekima kwa kumwomba Mungu, kwa kumwogopa, kwa kuwa wanyenyekevu na wenye kiasi, na kwa kuchimba katika Neno lake.