Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • mwb22 Julai uku. 11
  • Walijenga kwa Mikono na Mioyo Yao Pia

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Walijenga kwa Mikono na Mioyo Yao Pia
  • Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2022
  • Habari Zinazolingana
  • Thamani ya Hekima
    Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2022
  • Sulemani Anajenga Hekalu
    Kitabu Changu cha Hadithi za Biblia
  • Sala ya Sulemani ya Kutoka Moyoni na ya Unyenyekevu
    Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2022
  • Hekalu kwa Ajili ya Yehova
    Masomo Unayoweza Kujifunza Katika Biblia
Pata Habari Zaidi
Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2022
mwb22 Julai uku. 11
Mfalme Sulemani akiwa katika eneo la ujenzi wa hekalu akimsikiliza kwa makini mjenzi anayefafanua mipango ya ujenzi.

Mfalme Sulemani akikagua maendeleo ya ujenzi wa hekalu

HAZINA ZA NENO LA MUNGU

Walijenga kwa Mikono na Mioyo Yao Pia

Sulemani alitumia vifaa vyenye ubora wa hali ya juu katika ujenzi wa hekalu (1Fa 5:6, 17; w11 2/1 15)

Watu wengi walishiriki katika kazi hiyo (1Fa 5:13-16; it-1 424; it-2 1077 ¶1)

Sulemani na watu waliohusika walifanya kazi kwa bidii kwa miaka saba ili kukamilisha mradi huo (1Fa 6:38; ona picha kwenye jalada)

Sulemani na watu waliohusika walifaulu kujenga hekalu maridadi lililomletea Yehova sifa, kwa sababu mioyo yao ilikuwa kwenye kazi. Kwa kusikitisha, vizazi vya baadaye havikuwa na bidii kama yao ya kumwabudu Yehova. Hawakulitunza hekalu, na mwishowe liliharibiwa.

Ndugu na dada wenye shangwe wakisafisha Jumba la Ufalme. Wengine wanaweka mchango kwenye sanduku la michango, wengine wanazungumza, na mwingine anapanga machapisho ya kutaniko.

JIULIZE, ‘Ninafanya nini ili kudumisha bidii yangu kwa ajili ya ibada ya Yehova?’

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki