Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • mwb22 Novemba uku. 7
  • Mwanamke Mwovu, Aliyejitakia Makuu Aadhibiwa

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Mwanamke Mwovu, Aliyejitakia Makuu Aadhibiwa
  • Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2022
  • Habari Zinazolingana
  • Yehoashi Alimwacha Yehova kwa Sababu ya Marafiki Wabaya
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2009
  • “Nyumba Yote ya Ahabu Itaangamia”—2Fa 9:8
    Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2022
  • Ujasiri wa Yehoyada
    Masomo Unayoweza Kujifunza Katika Biblia
  • Mfalme Aliyesahau Shukrani
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1981
Pata Habari Zaidi
Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2022
mwb22 Novemba uku. 7

HAZINA ZA NENO LA MUNGU

Mwanamke Mwovu, Aliyejitakia Makuu Aadhibiwa

Athalia aliua uzao wote wa kifalme ili atawale Yuda (2Fa 11:1; it-1 209; ona chati “‘Nyumba Yote ya Ahabu Itaangamia’​—2Fa 9:8”)

Yehosheba alimficha Yehoashi, mrithi wa ufalme (2Fa 11:2, 3)

Kuhani Mkuu Yehoyada alimweka rasmi Yehoashi kuwa mfalme na kumuua Athalia mwovu, ambaye huenda ndiye mtu pekee aliyekuwa hai katika nyumba ya Ahabu (2Fa 11:12-16; it-1 209)

JAMBO LA KUTAFAKARI: Simulizi hili linaonyeshaje ukweli wa Methali 11:21 na Mhubiri 8:12, 13?

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki