HAZINA ZA NENO LA MUNGU
“Mtu Akifa, Je, Anaweza Kuishi Tena?”
Wanadamu hawana nguvu za kuzuia kifo au kurudisha uhai (Ayu 14:1, 2, 4, 10; w99 10/15 3 ¶1-3)
Wafu wanaweza kuishi tena (Ayu 14:7-9; w15 4/15 32 ¶1-2)
Mbali tu na kuwa na uwezo wa kuwafufua watumishi wake, Yehova anatamani kuwafufua (Ayu 14:14, 15; w11 3/1 22 ¶5)
JAMBO LA KUTAFAKARI: Kwa nini Yehova anatamani kuwafufua watumishi wake washikamanifu? Kufahamu hilo kunakufanya uhisije kumhusu Yehova?