HAZINA ZA NENO LA MUNGU
Elifazi Anaonyesha Jinsi Ambavyo Hatupaswi Kuwafariji Wengine
Elifazi alimwambia Ayubu wanadamu hawawezi kumpendeza Mungu (Ayu 15:14-16; w05 9/15 26 ¶4-5)
Elifazi alidai kwamba Ayubu alikuwa mwovu na ndiyo sababu alikuwa akiteseka (Ayu 15:20)
Maneno ya Elifazi hayakumfariji Ayubu (Ayu 16:1, 2)
Mambo ambayo Elifazi alimwambia Ayubu yalikuwa uwongo. Yehova anathamini jitihada zetu za kumtumikia. (Zb 149:4) Hata watu waadilifu wanaweza kupatwa na matatizo.—Zb 34:19.
JAMBO LA KUTAFAKARI: Tunawezaje ‘kuwafariji wale walioshuka moyo’? —1Th 5:14; w15 2/15 9 ¶16.