HAZINA ZA NENO LA MUNGU
Usiwaache Kamwe Waabudu Wenzako
Watu wa ukoo wa Ayubu waliacha kushirikiana naye (Ayu 19:13)
Watoto wachanga na watumishi wa Ayubu waliacha kumheshimu (Ayu 19:16, 18)
Marafiki wa karibu wa Ayubu walimgeuka (Ayu 19:19)
JIULIZE, ‘Ninaweza kufanya nini ili kuendelea kumwonyesha upendo mwabudu mwenzangu anayekabili matatizo?’—Met 17:17; w22.01 16 ¶9; w21.09 30 ¶16; w90 9/1 22 ¶20.