5 “Pia, mnaposali msifanye kama wanafiki,+ kwa maana wanapenda kusali wakiwa wamesimama katika masinagogi na kwenye kona za barabara kuu ili watu wawaone.+ Kwa kweli ninawaambia, wanapata thawabu yao kikamili.
5 “Pia, wakati mnaposali, msiwe kama wanafiki; kwa sababu wanapenda kusali wakiwa wamesimama+ katika masinagogi na kwenye pembe za njia pana ili waonekane na watu.+ Kwa kweli ninawaambia ninyi, Wanapata thawabu yao kwa ukamili.