15 Ndipo Yesu akawaambia: “Rafiki za bwana harusi hawahitaji kuomboleza bwana harusi+ anapokuwa pamoja nao, sivyo? Lakini siku zitakuja ambapo bwana harusi ataondolewa kwao,+ ndipo watakapofunga.
15 Ndipo Yesu akawaambia: “Je, rafiki za bwana-arusi wana sababu ya kuomboleza, maadamu bwana-arusi+ yupo pamoja nao? Lakini siku zitakuja wakati ambapo bwana-arusi ataondolewa+ kwao, ndipo watakapofunga.+