Mathayo 12:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Akawaambia: “Ukiwa na kondoo mmoja, naye kondoo huyo atumbukie shimoni siku ya Sabato, je, kuna yeyote kati yenu ambaye hatamshika na kumtoa humo?+ Mathayo 12:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Yeye akawaambia: “Ni nani kati yenu aliye na kondoo mmoja na, kondoo huyo akianguka ndani ya shimo+ siku ya sabato, hatamshika na kumtoa nje?+ Mathayo Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 12:11 w98 8/1 9 Mathayo Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 12:11 Yesu—Njia, uku. 78 Mnara wa Mlinzi,8/1/1998, kur. 9-108/1/1986, uku. 9
11 Akawaambia: “Ukiwa na kondoo mmoja, naye kondoo huyo atumbukie shimoni siku ya Sabato, je, kuna yeyote kati yenu ambaye hatamshika na kumtoa humo?+
11 Yeye akawaambia: “Ni nani kati yenu aliye na kondoo mmoja na, kondoo huyo akianguka ndani ya shimo+ siku ya sabato, hatamshika na kumtoa nje?+