12 Hata hivyo, ninawaambia kwamba tayari Eliya amekuja lakini hawakumtambua bali walimtendea kama walivyotaka.+ Vivyo hivyo, Mwana wa binadamu atateseka mikononi mwao.”+
12 Hata hivyo, mimi ninawaambia ninyi kwamba tayari Eliya amekuja nao hawakumtambua bali walimtendea mambo waliyotaka. Katika njia hiyo pia Mwana wa binadamu atateseka mikononi mwao.”+