32 Kwa maana Yohana alikuja kwenu katika njia ya uadilifu, lakini hamkumwamini. Hata hivyo, wakusanya kodi na makahaba walimwamini,+ nanyi, ijapokuwa mliona hilo, hamkujuta na kumwamini.
32 Kwa maana Yohana alikuja kwenu katika njia ya uadilifu,+ lakini hamkumwamini.+ Hata hivyo, wakusanya-kodi na makahaba walimwamini,+ nanyi, ijapokuwa mliona hilo, hamkujuta baadaye ili kumwamini.