33 “Sikilizeni mfano mwingine: Kulikuwa na mtu aliyemiliki shamba, akapanda shamba la mizabibu+ na kulizungushia ua, akachimba shinikizo la divai* ndani yake, akajenga mnara;+ kisha akalikodisha kwa wakulima, naye akasafiri kwenda ng’ambo.+
33 “Sikilizeni mfano mwingine: Kulikuwa na mtu, mwenye nyumba,+ aliyepanda shamba la mizabibu, akaweka ua kulizunguka, akachimba shinikizo la divai ndani yake, akasimamisha mnara,+ akalikodisha kwa wakulima, kisha akasafiri kwenda ng’ambo.+