Marko 1:35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 Asubuhi na mapema, kulipokuwa bado na giza, akaamka na kutoka nje, akaenda mahali pasipo na watu, naye akaanza kusali.+ Marko 1:35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 Na asubuhi na mapema, kulipokuwa bado kuna giza, akatoka nje akaenda mahali ambapo hapakuwa na watu,+ na huko akaanza kusali.+ Marko Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 1:35 Furahia Maisha Milele!, somo la 9
35 Asubuhi na mapema, kulipokuwa bado na giza, akaamka na kutoka nje, akaenda mahali pasipo na watu, naye akaanza kusali.+
35 Na asubuhi na mapema, kulipokuwa bado kuna giza, akatoka nje akaenda mahali ambapo hapakuwa na watu,+ na huko akaanza kusali.+