Marko 14:65 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 65 Wengine wakaanza kumtemea mate,+ wakamfunika uso, wakampiga ngumi na kumwambia: “Toa unabii!” Walinzi wa mahakama wakampiga makofi usoni na kumchukua.+ Marko 14:65 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 65 Na wengine wakaanza kumtemea mate+ na kuufunika uso wake wote na kumpiga ngumi na kumwambia: “Toa unabii!” Na, wakimpiga makofi usoni, watumishi wa mahakama wakamchukua.+ Marko Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 14:65 w11 8/15 14 Marko Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 14:65 Mnara wa Mlinzi,8/15/2011, uku. 14
65 Wengine wakaanza kumtemea mate,+ wakamfunika uso, wakampiga ngumi na kumwambia: “Toa unabii!” Walinzi wa mahakama wakampiga makofi usoni na kumchukua.+
65 Na wengine wakaanza kumtemea mate+ na kuufunika uso wake wote na kumpiga ngumi na kumwambia: “Toa unabii!” Na, wakimpiga makofi usoni, watumishi wa mahakama wakamchukua.+