43 akaja Yosefu wa Arimathea, mshiriki wa Baraza aliyeheshimiwa, ambaye pia alikuwa akiungojea Ufalme wa Mungu. Akajipa moyo na kwenda kwa Pilato, akaomba apewe mwili wa Yesu.+
43 Yosefu wa Arimathea, mshiriki wa Baraza mwenye kusifika, ambaye pia alikuwa akiungojea ufalme wa Mungu, akaja.+ Akajipa moyo kuingia mbele ya Pilato na kuomba apewe mwili+ wa Yesu.