10 Pia, Yakobo na Yohana, wana wa Zebedayo,+ ambao walishirikiana na Simoni wakashangaa. Lakini Yesu akamwambia Simoni: “Acha kuogopa. Kuanzia sasa utakuwa ukiwavua watu wakiwa hai.”+
10 na vivyo hivyo Yakobo na Yohana pia, wana wa Zebedayo,+ ambao walikuwa washiriki pamoja na Simoni. Lakini Yesu akamwambia Simoni: “Acha kuogopa. Tangu sasa na kuendelea utakuwa ukiwavua watu wakiwa hai.”+