-
Luka 5:10Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
-
-
10 na hivyohivyo Yakobo na Yohana pia, wana wa Zebedayo, ambao walikuwa washiriki pamoja na Simoni. Lakini Yesu akamwambia Simoni: “Koma kuogopa. Tangu sasa na kuendelea utakuwa ukivua watu wakiwa hai.”
-