36 Tena, akaendelea kuwapa mfano: “Hakuna mtu ambaye hukata kiraka kutoka katika vazi jipya la nje na kukishonelea katika vazi la nje la zamani; lakini akifanya hivyo, kiraka kipya huraruka na pia kiraka kutoka katika vazi jipya hakilingani na lile vazi la zamani.+