49 Kwa upande mwingine, yule anayesikia na hatendi,+ ni kama mtu aliyejenga nyumba juu ya udongo, bila msingi. Mto ukaipiga nyumba hiyo, nayo ikaporomoka mara moja, na kuharibika kabisa.”
49 Kwa upande mwingine, yule anayesikia na hatendi,+ anafanana na mtu aliyejenga nyumba juu ya udongo bila msingi. Mto uliipiga kwa nguvu, na mara ikaporomoka, na uharibifu+ wa nyumba hiyo ukawa mkubwa.”+