Yohana 13:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Walipokuwa wakila mlo wa jioni, tayari Ibilisi alikuwa ameweka wazo la kumsaliti Yesu+ ndani ya moyo wa Yuda Iskariote,+ mwana wa Simoni. Yohana 13:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Kwa hiyo, mlo wa jioni ulipokuwa ukiendelea, Ibilisi akiwa tayari ameweka ndani ya moyo wa Yuda Iskariote,+ mwana wa Simoni, amsaliti,+
2 Walipokuwa wakila mlo wa jioni, tayari Ibilisi alikuwa ameweka wazo la kumsaliti Yesu+ ndani ya moyo wa Yuda Iskariote,+ mwana wa Simoni.
2 Kwa hiyo, mlo wa jioni ulipokuwa ukiendelea, Ibilisi akiwa tayari ameweka ndani ya moyo wa Yuda Iskariote,+ mwana wa Simoni, amsaliti,+