2 Basi akakimbia kwenda kwa Simoni Petro na yule mwanafunzi mwingine, ambaye Yesu alimpenda,+ naye akawaambia: “Wamemwondoa Bwana kaburini,+ nasi hatujui wamemlaza wapi.”
2 Kwa hiyo akakimbia na kuja kwa Simoni Petro na kwa yule mwanafunzi+ mwingine, ambaye Yesu alikuwa anampenda, naye akawaambia: “Wamemwondoa Bwana kutoka katika kaburi,+ nasi hatujui wamemlaza wapi.”