-
Yohana 20:2Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
-
-
2 Kwa hiyo akakimbia na kuja kwa Simoni Petro na kwa yule mwanafunzi mwingine, ambaye Yesu alikuwa na shauku naye, naye akawaambia: “Wamemwondoa Bwana kutoka katika kaburi la ukumbusho, nasi hatujui ni wapi wamemlaza.”
-