40 Petro akaagiza kila mtu aende nje,+ akapiga magoti na kusali. Kisha akaugeukia ule mwili, akasema: “Tabitha, inuka!” Akafungua macho yake, na alipomwona Petro, akaketi.+
40 Lakini Petro akamtoa kila mtu nje,+ akapiga magoti, akasali, akaugeukia ule mwili, akasema: “Tabitha, inuka!” Akafungua macho yake na, alipomwona Petro, akaketi wima.+