18 Waliposikia mambo hayo, wakaacha kupinga,* nao wakamtukuza Mungu wakisema: “Kwa hiyo basi, Mungu pia ameruhusu watu wa mataifa watubu ili wapate uzima.”+
18 Basi waliposikia mambo hayo, wakakubali kimyakimya,+ nao wakamtukuza Mungu,+ wakisema: “Kwa hiyo, basi, Mungu ameruhusu toba kwa kusudi la uzima kwa watu wa mataifa pia.”+