28 Mmoja wao aitwaye Agabo+ akasimama na kutabiri kupitia roho kwamba njaa kubwa ilikuwa karibu kutokea juu ya dunia yote inayokaliwa,+ na kwa kweli ilitokea wakati wa Klaudio.
28 Mmoja kati yao anayeitwa jina Agabo+ akasimama na kuonyesha kupitia roho kwamba njaa kali ilikuwa karibu kuja juu ya dunia nzima inayokaliwa;+ ambayo, kama ilivyo, ilitukia wakati wa Klaudio.