7 Basi bishano+ kubwa lilipokuwa limetukia, Petro akasimama na kuwaambia: “Wanaume, akina ndugu, ninyi mnajua vema kwamba tangu siku za zamani Mungu alichagua kati yenu kwamba kupitia kinywa changu watu wa mataifa wasikie neno la habari njema na kuamini;+