Matendo 19:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Paulo akasema: “Yohana aliwabatiza watu ili kuonyesha kwamba wametubu,+ akiwaambia wamwamini yule ambaye angekuja baada yake,+ yaani, Yesu.” Matendo 19:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Paulo akasema: “Yohana alibatiza kwa ubatizo unaoonyesha toba,+ akiwaambia watu wamwamini yule ambaye angekuja baada yake,+ yaani, Yesu.” Matendo Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 19:4 Maswali ya Biblia Yajibiwa, makala 110 Ufahamu, Yesu—Njia, uku. 30
4 Paulo akasema: “Yohana aliwabatiza watu ili kuonyesha kwamba wametubu,+ akiwaambia wamwamini yule ambaye angekuja baada yake,+ yaani, Yesu.”
4 Paulo akasema: “Yohana alibatiza kwa ubatizo unaoonyesha toba,+ akiwaambia watu wamwamini yule ambaye angekuja baada yake,+ yaani, Yesu.”