16 Pia, sivyo ilivyo kwa ile zawadi ya bure+ kama ilivyokuwa kwa njia ambayo mambo yalitendeka kupitia mtu mmoja aliyefanya dhambi.+ Kwa maana hukumu+ ilitokana na kosa moja katika hatia,+ lakini zawadi ilitokana na makosa mengi katika tangazo la uadilifu.+