4 Basi tulizikwa pamoja naye kupitia ubatizo wetu katika kifo chake,+ ili kama vile Kristo alivyofufuliwa kutoka kwa wafu kupitia utukufu wa Baba, vivyo hivyo sisi pia tunapaswa tutembee katika hali mpya ya uzima.+
4 Kwa hiyo tulizikwa+ pamoja naye kupitia ubatizo wetu katika kifo chake, ili, kama vile Kristo alivyofufuliwa kutoka kwa wafu kupitia utukufu wa Baba,+ vivyo hivyo sisi pia tunapaswa tutembee katika hali mpya ya uzima.+