13 Wala msiendelee kuitoa miili yenu* kwa dhambi kuwa silaha za ukosefu wa uadilifu, bali jitoeni wenyewe kwa Mungu kama walio hai kutoka kwa wafu, pia toeni miili yenu* kwa Mungu kuwa silaha za uadilifu.+
13 Wala msiendelee kuvitoa viungo vyenu kwa dhambi+ kuwa silaha za ukosefu wa uadilifu,+ bali jitoeni wenyewe kwa Mungu kama walio hai+ kutoka kwa wafu, pia viungo vyenu kwa Mungu kuwa silaha+ za uadilifu.