30 Isitoshe, wale aliowachagua awali+ ndio aliowaita pia;+ na wale aliowaita ndio aliowatangaza kuwa waadilifu pia.+ Mwishowe wale aliowatangaza kuwa waadilifu ndio aliowatukuza pia.+
30 Zaidi ya hayo, wale aliowaagiza kimbele+ hao ndio aliowaita+ pia; na wale aliowaita hao ndio aliowatangaza kuwa waadilifu+ pia. Mwishowe wale aliowatangaza kuwa waadilifu hao ndio aliowatukuza pia.+