11 Nanyi fanyeni hivi kwa sababu mnayajua majira, kwamba tayari ni saa yenu ya kuamka kutoka usingizini,+ kwa maana sasa wokovu wetu uko karibu zaidi kuliko wakati tulipoanza kuamini.
11 Fanyeni hivi, pia, kwa sababu mnayajua majira, kwamba tayari ni saa ya ninyi kuamka+ kutoka katika usingizi, kwa maana sasa wokovu wetu uko karibu zaidi kuliko wakati tulipokuwa waamini.+