21 Kwa kuwa, katika hekima ya Mungu, ulimwengu haukumjua Mungu+ kupitia hekima yake,+ Mungu alipenda kuwaokoa wale wanaoamini kupitia upumbavu+ wa ujumbe unaohubiriwa.
21 Maana, kwa kuwa katika hekima ya Mungu, ulimwengu kupitia hekima yake+ haukuja kumjua Mungu,+ Mungu aliona vema kupitia upumbavu+ wa linalohubiriwa awaokoe wale wanaoamini.