7 Bali tunazungumza kuhusu hekima ya Mungu katika siri takatifu,+ hekima iliyofichwa, ambayo Mungu aliiagiza awali kabla ya mifumo ya mambo kwa ajili ya utukufu wetu.
7 Bali tunasema hekima ya Mungu katika siri takatifu,+ hekima iliyofichwa, ambayo Mungu aliagiza kimbele kabla ya mifumo+ ya mambo kwa ajili ya utukufu wetu.