6 Basi, akina ndugu, mambo haya nimeyatumia* kujihusu mimi mwenyewe na Apolo+ kwa faida yenu, ili kupitia sisi mjifunze kanuni hii: “Msipite mambo yaliyoandikwa,” ili msiwe na kiburi,+ na kumpendelea mtu mmoja kuliko mwingine.
6 Basi, akina ndugu, mambo haya nimeyahamisha ili kuyatumia juu yangu mwenyewe na Apolo+ kwa faida yenu, ili katika hali yetu mjifunze kanuni: “Msipite mambo yaliyoandikwa,”+ ili msijivune+ mtu mmoja-mmoja kwa kumpendelea mtu mmoja juu ya mwingine.+