2 Wakorintho 2:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 badala yake, sasa mnapaswa kumsamehe kwa fadhili na kumfariji,+ ili asilemewe* na huzuni inayopita kiasi.+ 2 Wakorintho 2:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 ili kwamba, kinyume chake sasa, mnapaswa kumsamehe+ kwa fadhili na kumfariji, ili kwa njia fulani mtu huyo asimezwe na huzuni yake ya kupita kiasi.+ 2 Wakorintho Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 2:7 w10 6/15 13; w98 10/1 17-18 2 Wakorintho Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 2:7 Mnara wa Mlinzi (2010),6/15/2010, uku. 1310/1/1998, kur. 17-18
7 badala yake, sasa mnapaswa kumsamehe kwa fadhili na kumfariji,+ ili asilemewe* na huzuni inayopita kiasi.+
7 ili kwamba, kinyume chake sasa, mnapaswa kumsamehe+ kwa fadhili na kumfariji, ili kwa njia fulani mtu huyo asimezwe na huzuni yake ya kupita kiasi.+