13 Lakini ninyi pia mlimtumaini baada ya kulisikia neno la kweli, habari njema kuhusu wokovu wenu. Baada ya kuamini, mlitiwa muhuri+ kupitia kwake kwa roho takatifu iliyoahidiwa,
13 Lakini ninyi pia mlimtumaini yeye baada ya kulisikia neno la kweli,+ habari njema juu ya wokovu+ wenu. Kupitia yeye pia, baada ya ninyi kuamini, mlitiwa muhuri+ kwa roho takatifu iliyoahidiwa,+