20 Hilo linapatana na tarajio langu lenye hamu na tumaini kwamba sitaona aibu kwa njia yoyote, bali kwamba kwa uhuru wote wa kusema, sasa Kristo, kama sikuzote hapo mwanzoni, atatukuzwa kupitia mwili wangu, iwe ni kupitia uzima au kupitia kifo.+
20 kwa kupatana na tarajio langu lenye hamu+ na tumaini+ kwamba sitaona aibu+ kwa njia yoyote, bali kwamba katika uhuru wote wa kusema,+ Kristo, kama sikuzote hapo mwanzoni, atatukuzwa hivyo sasa kwa njia ya mwili wangu,+ iwe ni kupitia uzima au ni kupitia kifo.+