3 Msiruhusu mtu yeyote awapotoshe* kwa njia yoyote, kwa sababu siku hiyo haitafika kabla uasi imani+ haujatokea kwanza na yule mtu wa uasi sheria+ kufunuliwa, mwana wa maangamizi.+
3 Msiache mtu yeyote awashawishi ninyi kwa namna yoyote, kwa sababu hiyo haitakuja isipokuwa uasi-imani+ uje kwanza na yule mtu wa uasi-sheria+ afunuliwe,+ mwana wa maangamizi.+