5 (si kwa sababu ya matendo yoyote ya uadilifu tuliyokuwa tumefanya,+ bali kwa sababu ya rehema yake),+ alituokoa kupitia kuoshwa kulikotuleta kwenye uzima,+ na kwa kutufanya wapya kupitia roho takatifu.+
5 si kutokana na matendo yoyote+ ya uadilifu ambayo tulikuwa tumefanya,+ bali kulingana na rehema+ yake alituokoa kupitia kuoshwa+ kulikotuleta kwenye uzima+ na kupitia kutufanya sisi kuwa wapya kwa roho takatifu.+