7 lakini kuhani mkuu huingia ndani ya chumba cha pili akiwa peke yake mara moja kwa mwaka,+ akiwa na damu,+ ambayo huitoa kwa ajili yake mwenyewe+ na kwa ajili ya dhambi ambazo watu+ walifanya bila kujua.
7 lakini ndani ya chumba cha pili kuhani mkuu peke yake huingia mara moja kwa mwaka,+ wala si bila damu,+ ambayo yeye huitoa kwa ajili yake mwenyewe+ na kwa ajili ya dhambi za hali ya watu+ ya kutojua.