11 Pia, kila kuhani husimama mahali pake siku kwa siku ili kutoa utumishi mtakatifu*+ na kutoa mara nyingi dhabihu zilezile,+ ambazo haziwezi kuondoa kabisa dhambi.+
11 Pia, kila kuhani husimama mahali pake+ siku baada ya siku+ ili kutoa utumishi wa watu wote na kutoa dhabihu zilezile mara nyingi, kwa kuwa hizo haziwezi kamwe kuondoa kabisa dhambi.+