12 Zaidi ya yote, akina ndugu, acheni kuapa kwa mbingu au kwa dunia au kwa kiapo kingine chochote. Bali acheni “Ndiyo” yenu iwe ndiyo, na “Siyo” yenu, siyo,+ ili msihukumiwe.
12 Hata hivyo, akina ndugu, zaidi ya mambo yote, acheni kuapa, naam, ama kwa mbingu ama kwa dunia ama kwa kiapo kingine chochote.+ Bali acheni Ndiyo yenu imaanishe Ndiyo, na Siyo yenu, Siyo, ili msianguke hukumuni.+