16 Hapana, hatukuwajulisha kuhusu nguvu na kuwapo kwa Bwana wetu Yesu Kristo kwa kufuata hadithi za uwongo zilizotungwa kwa werevu, badala yake, tulijionea kwa macho fahari yake.+
16 Sivyo, haikuwa kwa kufuata hadithi za uwongo zilizotungwa+ kwa ufundi kwamba tuliwafahamisha ninyi juu ya nguvu na kuwapo kwa Bwana wetu Yesu Kristo,+ lakini ilikuwa kwa sisi kuwa mashahidi wa kujionea fahari yake.+